forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
687 B
Markdown
24 lines
687 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla:
|
||
|
|
||
|
Musa anazungumza na Waisraeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja, kwa hiyo neno "wako" hapa ni katika umoja.
|
||
|
|
||
|
# Babu yangu alikuwa Mwaremi mzururaji
|
||
|
|
||
|
Huu ni mwanzo wa kauli ya kwamba mwanamume wa Kiisraeli anatakiwa kutengeneza anapoleta kikapu chake.
|
||
|
|
||
|
# Mwaremi mzururaji
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya Yakobo, ambaye alikuwa baba wa Waisraeli wote. Aliishi miaka mingi katika Aramu-Nahairamu, eneo lililopo Shamu.
|
||
|
|
||
|
# na kukaa kule
|
||
|
|
||
|
"na kuishi maisha yake yote kule"
|
||
|
|
||
|
# Kule akawa
|
||
|
|
||
|
Neno "akawa" ni lugha nyingine kwa ajili ya "uzao wa Yakobo"
|
||
|
|
||
|
# kubwa, lenye nguvu
|
||
|
|
||
|
Maneno haya kimsingi yana maana moja. Yanasisitiza ya kwamba Israeli ikawa taifa kubwa na lenye nguvu. "kubwa sana"
|