forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
1.1 KiB
Markdown
36 lines
1.1 KiB
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Ila kama jambo hili ni la kweli
|
|
|
|
"Lakini kama ni kweli" au "Lakini kama kile ambacho mwanamume anasema ni kweli"
|
|
|
|
# kwamba ushahidi wa bikira ya binti haukupatikana kwa binti
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "ya kwamba mwanamume hakupata ushahidi ya kwamba binti alikuwa bikira"
|
|
|
|
# ushahidi wa bikra
|
|
|
|
Nomino zinazojitegemea za "ushahidi" na "bikira" zinaweza kutafsiriwa kama misemo ya vitenzi. "kitu kinachothibitisha ya kwamba binti alikuwa bikira"
|
|
|
|
# basi wanapaswa kumpeleka binti
|
|
|
|
"kisha wazee wanapaswa kumtoa binti nje"
|
|
|
|
# kumpiga kwa mawe hadi afe
|
|
|
|
"kutupa mawe kwake mpaka afe"
|
|
|
|
# kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli
|
|
|
|
"kwa sababu amefanya jambo la aibu katika Israeli"
|
|
|
|
# kwa kutenda kama kahaba chini ya nyumba ya baba yake
|
|
|
|
"kutenda kama kahaba angali akiishi katika nyumba ya baba yake"
|
|
|
|
# mtakuwa mmeondoa uovu
|
|
|
|
Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kutoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya jambo hili ovu" au "unapaswa kumuua mtu huyu muovu"
|