forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
633 B
Markdown
20 lines
633 B
Markdown
# Taarifaya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# na kisha kumtuhumu kwa vitu vya aibu
|
|
|
|
"na kisha kumtuhumu yeye kulala na mtu mwingine kabla hajaolewa"
|
|
|
|
# na kumharibia sifa yake
|
|
|
|
Nomino inayojitegemea ya "sifa" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "na kufanya watu wengine kufikiri kuwa yeye ni mtu mbaya"
|
|
|
|
# lakini nilipomkaribia
|
|
|
|
Hii ni njia ya upole ya kusema "kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu". "lakini nilipolala naye"
|
|
|
|
# sikukuta ushahidi wa ubikira kwake
|
|
|
|
Nomino inayojitegemea ya "ushahidi" inaweza kutafsiriwa kama msemo wa kitenzi. "hakuweza kutoa ushahidi kwangu ya kwamba alikuwa bikira"
|