forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
935 B
Markdown
36 lines
935 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba walikuwa mtu mmoja.
|
|
|
|
# Huyu mwanetu
|
|
|
|
"Mwana wetu"
|
|
|
|
# hataki kusikia sauti zetu
|
|
|
|
Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anasema au lugha nyingine ya mtu mzima. "hatafanya kile ambacho tunamwambia kufanya" au "hatatutii".
|
|
|
|
# mwasherati
|
|
|
|
mtu ambaye hula na kunywa sana
|
|
|
|
# mlevi
|
|
|
|
mtu ambaye hunywa sana kileo na kulewa mara kwa mara.
|
|
|
|
# kumpiga kwa mawe hadi kufa
|
|
|
|
"kutupa mawe kwake mpaka afe"
|
|
|
|
# mtaondoa uovu miongoni mwenu
|
|
|
|
Kivumishi "uovu" kinaweza kutafsiriwa kama msemo wa nomino. "unapaswa kuondoa miongoni mwa Waisraeli mtu ambaye anafanya uovu huu" au "mnapaswa kumuua mtu huyu muovu"
|
|
|
|
# Israeli yote
|
|
|
|
Neno "Israeli" ni lugha nyingine la watu wa Israeli. "Watu wote wa Israeli"
|
|
|
|
# tasikia juu ya hili na kuogopa
|
|
|
|
Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi. "atasikia juu ya kilichotokea kwa mwana na kuogopa ya kwamba watu watamuadhibu pia"
|