forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
405 B
Markdown
16 lines
405 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# ambaye hatatii sauti ya baba yake au sauti ya mama yake
|
|
|
|
Hapa "sauti" ni lugha nyingine kwa kile mtu anachozungumza. "ambaye hatatii kile baba yake au mama yake anasema"
|
|
|
|
# kurekebishwa
|
|
|
|
"wanamuadhibu kwa kutenda ubaya wake" au "wanamfundisha na kumuelekeza"
|
|
|
|
# anapaswa kumshika na kumleta mbele
|
|
|
|
"wanapaswa kumlazimisha kutoka nje"
|