forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
419 B
Markdown
24 lines
419 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Musa anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli kana kwamba alikuwa akizungumza na mtu mmoja, kwa hiyo maneno "zako" na "yako" ni katika umoja.
|
|
|
|
# Utakapokwenda
|
|
|
|
"nyie ambao ni askari nendeni nje"
|
|
|
|
# nawe ukamtamani
|
|
|
|
"Unataka kulala naye"
|
|
|
|
# kutaka kujitwalia awe mke wako
|
|
|
|
"unataka kumuoa"
|
|
|
|
# atanyoa nywele zake
|
|
|
|
"atanyoa nywele kutoka katika kichwa chake"
|
|
|
|
# kukata kucha zake
|
|
|
|
"kukata kucha zake"
|