forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
628 B
Markdown
16 lines
628 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla:
|
|
|
|
Musa anasema kile ambacho maakida wa jeshi wanapaswa kuzungumza kwa watu wa Israeli kabla ya vita.
|
|
|
|
# Maakida wanapaswa kuzungumza
|
|
|
|
Moja ya kazi za maakida ilikuwa kuamua nani ataondoka jeshini. Maana kamili ya kauli hii inaweza kuwekwa wazi.
|
|
|
|
# Ni mtu yupi ... Acha aende na arudi nyumbani kwake
|
|
|
|
"Iwapo askari yeyote hapa amejenga nyumba mpya na hajaiweka wakfu, anapaswa kurudi katika nyumba yake"
|
|
|
|
# ili kwamba asife vitani na mtu mwingine aiweke wakfu
|
|
|
|
Maafisa wanaelezea tukio ambalo lingeweza kutokea kwa askari. "ili kwamba, kama atakufa vitani, mtu mwingine hataweka wakfu nyumba yake badala yake"
|