forked from WA-Catalog/sw_tn
424 B
424 B
kutamani kwa roho yake yote
Hii ni nahau. "anatamani sani" au "anataka kweli"
basi anapaswa kutumika kwa jina la Yahwe Mungu wake
Hapa "jina" uwakilisha Yahwe na mamlaka yake. "kisha anapaswa kumtumikia Yahwe na Mungu wake kama kuhani"
anasimama huko mbele ya Yahwe
"ambaye anatumika kwenye mahali patakatifu kwa uwepo wa Yahwe"
urithi wa familia yake
Hiki ndicho kuhani angeweza kurithi kutoka kwa baba yake