forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
737 B
Markdown
20 lines
737 B
Markdown
# Kwa kuwa masikini kamwe wataacha kuishi kwenye nchi
|
|
|
|
Hii inaweza kutajwa kwa mfumo chanya. "Kwa kuwa daima kutakuwa na watu maskini katika nchi"
|
|
|
|
# kwa masikini
|
|
|
|
Jina kitenzi "maskini" linaweza kutajwa kama kitenzi.
|
|
|
|
# Nakuamuru na kusema, "Unapaswa hakika kufungua mkono wako...kwenye nchi yako.'
|
|
|
|
Hii ina nukuu ndani ya nukuu. Nukuu ya moja kwa moja inaweza kutajwa kama nukuu isiyo ya moja kwa moja.
|
|
|
|
# fungua mkono wako kwa ndugu yako, kwa mhitaji, na masikini wako
|
|
|
|
Mtu ambaye ana utayari kumsaidia mtu mwingine husemwa kama mkono wake uko wazi.
|
|
|
|
# ndugu yako, kwa mhitaji wako, na masikini wako
|
|
|
|
Maneno "mhitaji" na "masikini" umaanisha kimsingi kitu kile kile na kusisitiza kwamba hawa ni watu ambao hawezi kujisaidia wenyewe.
|