sw_tn/deu/14/11.md

8 lines
275 B
Markdown

# ndege wote safi
Mnyama ambaye Mungu usema anafaa kwa ajili ya watu wake kula husemwa kama mnyama aliye msafi kimwili.
# tai...tumbusi...kipungu...mwewe mwekundu na mweusi...kipanga.
Hizi ni ndege ambazo zinaweza kuamka usiku au kula wanyama wadogo na wanyama waliokufa.