forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
509 B
Markdown
20 lines
509 B
Markdown
# sehemu hiyo ya kwato
|
|
|
|
"ambayo wamegawanyika kwato" Hii ni kwato ambayo imegawanyika katika sehemu mbili badala ya kuwa moja kamili.
|
|
|
|
# utafuna macheuo
|
|
|
|
Hii umaanisha wanyama uleta chakula chake juu toka tumboni na kutafuna tena.
|
|
|
|
# sungura
|
|
|
|
Huyu ni mnyama mdogo mwenye masikio marefu ambaye huishi kwenye mashimu ya ardhi.
|
|
|
|
# pomono
|
|
|
|
Huyu ni mnyama mdogo ambaye huishi kwenye maeneo ya miamba.
|
|
|
|
# wako najisi kwenu
|
|
|
|
Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.
|