forked from WA-Catalog/sw_tn
509 B
509 B
sehemu hiyo ya kwato
"ambayo wamegawanyika kwato" Hii ni kwato ambayo imegawanyika katika sehemu mbili badala ya kuwa moja kamili.
utafuna macheuo
Hii umaanisha wanyama uleta chakula chake juu toka tumboni na kutafuna tena.
sungura
Huyu ni mnyama mdogo mwenye masikio marefu ambaye huishi kwenye mashimu ya ardhi.
pomono
Huyu ni mnyama mdogo ambaye huishi kwenye maeneo ya miamba.
wako najisi kwenu
Kitu chochote Yahwe usema hakifai kwa watu wake kula husemwa kama kilikuwa najisi kimwili.