forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
471 B
Markdown
20 lines
471 B
Markdown
# Habari ya jumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumzwa kwa watu wa Israeli.
|
|
|
|
# Chungunza na kusikiliza kwa maneno haya ambayo ninakuamuru
|
|
|
|
Hapa "maneno" uwakilisha nini Musa anasema.
|
|
|
|
# ili iweze kukufanya vizuri wewe na watoto wako baada yako
|
|
|
|
Hapa "watoto" umaanisha watoto wako wote.
|
|
|
|
# wakati unafanya kile kizuri na sawa
|
|
|
|
Maneno "uzuri" na "sawa" yana maana ya kufanana na msisitizo wa umuhimu wa tabia nzuri.
|
|
|
|
# katika macho ya Yahwe
|
|
|
|
Hapa "macho" uwakilisha mawazo na maoni
|