forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
467 B
Markdown
16 lines
467 B
Markdown
# siku arobaini na usiku arobaini
|
|
|
|
"siku 40 na usiku arobaini"
|
|
|
|
# mbao mbili za jiwe, mbao za agano
|
|
|
|
Kundi la maneno la pili ufafanua kwamba "mbao mbili za jiwe" ni zile ambazo Mungu aliandikwa amri kumi .
|
|
|
|
# watu wako...wamekuwa wafisadi wenyewe
|
|
|
|
"watu wako...wanafanya kile kilichokibaya."
|
|
|
|
# Wamegeuka kwa haraka kando nje ya njia amgayo niliwaamuru
|
|
|
|
Musa azungumza kama kutii amri za Mungu walikuwa wanatembea kando ya njia. "Tayari wameshindwa kutii amri zangu"
|