forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
408 B
Markdown
16 lines
408 B
Markdown
# Taarifa ya ujumla
|
|
|
|
Musa aendelea kuzungumza na watu wa Israeli kama walikuwa mtu mmoja, hivyo mifano ya "wewe" na "yako" ni umoja
|
|
|
|
# Hautalichukua jina la Yahwe
|
|
|
|
"Hautalitumia jina la Yahwe"
|
|
|
|
# kwa utupu
|
|
|
|
"kutojali" au "kutokuwa na heshima sahihi" au "kwa kusudi baya"
|
|
|
|
# Yahwe hatamshikilia kuwa ana hatia
|
|
|
|
Hii inaweza kutajwa katika hali chanya. "Yahwe atamchukulia kuwa ana hatia" au "Yahwe atamhukumu"
|