sw_tn/deu/02/06.md

974 B

Taarifa ya ujumla

Musa aendelea kuelekeza Israel kwa namna watakavyowatendea wazao wa Esau

Utanunua chakula toka kwao

Yahwe anawapa ruhusa au maelekezo, siyo amri, na anawambia wasiibe. "Ninakuamuru kununua chakula kutoka kwao" au "kama unahitaji chakula, utanunua kutoka kwao"

kutoka kwao

"kutoka uzao wa Esau"

kwa pesa

Kama haya maneno hayaitajiki au kufanya tofasiri kutokuwa sahihi, unaweza kuyatoa.

Mungu wenu amewabariki ninyi...mikono yenu...kutembea kwenu...Mungu wenu...pamoja nanyi, na hamjapungukiwa.

Musa azungumza kwa wanaisraeli kama walikuwa mtu mmoja, basi mifano "wewe" na "vyao" ni umoja

nyie katika kazi zenu za mkono

Hii "kazi za mkono yenu" urejea kwa kazi yote waliofanya.

amejua kutembea kwenu

Hili ni neno lenye maana sawa kwa "anajua kile kilichotokea kwenu wakati mlipokuwa mnatembea."

miaka arobaini

40 miaka

hamjapungukiwa kitu chochote

Hii inatumika kama takwimu ya hotuba "umekuwa na kila kitu ulichohitaji."