forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
592 B
Markdown
24 lines
592 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Musa aliendelea kuwakumbusha watu wa Israeli ambayo Yahwe alivyosema nao.
|
|
|
|
# Niliongea nanyi kwa watkia huo
|
|
|
|
Hapa "Ni" urejea kwa Musa. Maneno "kwa wakati huo" urejea kwa wakati wanaisrael walipokuwa Horebu, ambayo ni sawa kama mlima Sinai.
|
|
|
|
# Siwezi kuwabeba mimi peke yangu
|
|
|
|
Hapa "kuwabeba" umaanisha "kuwaongoza ninyi" au kuwatawala ninyi." "Hii ni zaidi kwangu kuwaongoza mwenyewe"
|
|
|
|
# kama umati wa nyota za mbinguni
|
|
|
|
Hii ni kutia chumvi ambako kunamaanisha Mungu ameongeza idadi ya wanaisraeli
|
|
|
|
# mara elfu
|
|
|
|
Maneno "mara elfu" ni fumbo la "nyingi sana"
|
|
|
|
# elfu
|
|
|
|
1000
|