forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
626 B
Markdown
36 lines
626 B
Markdown
# Taarifa ya jumla
|
|
|
|
Musa anaendelea kuwakumbusha watu wa Israeli kile alichosema Yahwe kwao.
|
|
|
|
# Geuka na anza safari yako
|
|
|
|
"Anza tena safari yako"
|
|
|
|
# nchi ya mlima...Euphrates
|
|
|
|
Yahwe anaeleza maeneo katika nchi kwamba ameahidi kuwapa wanaisraeli.
|
|
|
|
# nchi ya mlima
|
|
|
|
Hili ni eneo katika milima karibu na eneo ambapo Wamorites waliishi.
|
|
|
|
# nchi ya chini
|
|
|
|
eneo la nchi ambayo liko chini na tambarare
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
"Zingatia yale ninayoenda kusema"
|
|
|
|
# Nimeweka nchi mbele yako
|
|
|
|
"Sasa naenda kukupa nchi hii"
|
|
|
|
# kwamba Yahwe aliapa
|
|
|
|
Yahwe anazungumza kama alikuwa mtu mwingine.
|
|
|
|
# baba
|
|
|
|
Neno "baba" ni neno lenye maana sawa na mababu.
|