sw_tn/dan/11/05.md

845 B

Maelezo ya jumla

Malaika anaendelea kuongea na Danieli

mmoja kati ya maamiri jeshi wake atakuwa mwenye nguvu kuliko yeye na atautawala ufalme wake kwa nguvu kubwa

Kamanda wa mfalme wa Kusini atakuwa Mfalme wa Kaskazini.

watafanya mwungano

Mfalme wa Kusini atafanya ushirika na Mfalme wa Kaskazini. Mwungano huu utakuwa wa makubaliano rasmi ambayo kila taifa lazima kuyafuata.

Binti wa mfalme wa Kusini atakuja kwa mfalme wa Kaskazini kuyathibitisha makubaliano yao.

Mfalme wa Kusini atampa binti yake mfalme wa kusini ili amwoe. Ndoa itathibitisha makubaliano kati ya wafalme hawa wawili.

nguvu za mkono wake.... mkono wake

Mahali hapa "mkono" unatumika kumaanisha nguvu.

Ataachwa

Hii inarejelea hila ya kuuliwa kwa binti na wale ambao wamefanya mwungano. Kirai hiki chaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Watamwacha"