forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
845 B
Markdown
24 lines
845 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Malaika anaendelea kuongea na Danieli
|
||
|
|
||
|
# mmoja kati ya maamiri jeshi wake atakuwa mwenye nguvu kuliko yeye na atautawala ufalme wake kwa nguvu kubwa
|
||
|
|
||
|
Kamanda wa mfalme wa Kusini atakuwa Mfalme wa Kaskazini.
|
||
|
|
||
|
# watafanya mwungano
|
||
|
|
||
|
Mfalme wa Kusini atafanya ushirika na Mfalme wa Kaskazini. Mwungano huu utakuwa wa makubaliano rasmi ambayo kila taifa lazima kuyafuata.
|
||
|
|
||
|
# Binti wa mfalme wa Kusini atakuja kwa mfalme wa Kaskazini kuyathibitisha makubaliano yao.
|
||
|
|
||
|
Mfalme wa Kusini atampa binti yake mfalme wa kusini ili amwoe. Ndoa itathibitisha makubaliano kati ya wafalme hawa wawili.
|
||
|
|
||
|
# nguvu za mkono wake.... mkono wake
|
||
|
|
||
|
Mahali hapa "mkono" unatumika kumaanisha nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Ataachwa
|
||
|
|
||
|
Hii inarejelea hila ya kuuliwa kwa binti na wale ambao wamefanya mwungano. Kirai hiki chaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " Watamwacha"
|