sw_tn/dan/10/20.md

840 B

mkuu wa Uajemi

"mkuu" hurejelea roho ambayo inatawala na kulilinda taifa la watu. "mkuu wa roho ya uajemi"

Lakini nitakwambia

Hii ina maana kwamba Malaika atamwambia Danieli juu ya hili muda mfupi kabla hajaenda mbali.

kile kilichoandikwa katika Kitabu cha Ukweli

Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "kile Kitabu cha Ukweli kinayasema" au "kile ambacho mtu fulani alikiandika katika Kitabu cha Ukweli.

yeyote anayejionesha kuwa na nguvu

"yeye anayejihakikisha kuwa na nguvu"

isipokuwa Mikaeli mkuu wenu

Kirai hiki chaweza kuelezeka kama sentensi inayojitegemea. "Mikaeli mkuu wako ni yeye pekee ambaye huyatenda haya"

Mikaeli mkuu wenu

Neno "wenu" liko katika wingi. Linamrejelea Danieli na watu wengine waliosalia wa Israeli.

Mkuu

Angalia jinsi ulivyotafsiri "mkuu" inapomrejelea Mikaeli katika 10:12.