forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
798 B
Markdown
32 lines
798 B
Markdown
# Ata....ata...
|
|
|
|
Hii inamrejelea mtawala akayekuja ambaye atamharibu mpakwa mafuta.
|
|
|
|
# miaka saba...Katikati ya miaka saba
|
|
|
|
Mahali neno "saba" limetumika kurejelea kipindi cha miaka saba.
|
|
|
|
# atakomesha
|
|
|
|
"kuacha" au "kusimamisha"
|
|
|
|
# dhabihu na sadaka
|
|
|
|
maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Marudio yanaonesha kwamba mtawala ajayea atakomesha aina zote za sadaka.
|
|
|
|
# mtu atakayeleta ukiwa
|
|
|
|
Mtu ambaye atateketeza kabisa"
|
|
|
|
# Mwisho kamili na uharibifu umeamriwa kutokea kwa yeye aliyesababisha ukiwa.
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu ameamuru kwamba ataleta mwisho kamili na uharibifu"
|
|
|
|
# Mwisho kamili na uharibifu
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja. Yanatia mkazo juu ya uhalali na ukamilifu wa uharibifu.
|
|
|
|
# yeye aliyesababisha ukiwa
|
|
|
|
"mtu ambaye ataleta uharibifu"
|