sw_tn/dan/09/27.md

798 B

Ata....ata...

Hii inamrejelea mtawala akayekuja ambaye atamharibu mpakwa mafuta.

miaka saba...Katikati ya miaka saba

Mahali neno "saba" limetumika kurejelea kipindi cha miaka saba.

atakomesha

"kuacha" au "kusimamisha"

dhabihu na sadaka

maneno haya kimsingi yanamaanisha kitu kile kile. Marudio yanaonesha kwamba mtawala ajayea atakomesha aina zote za sadaka.

mtu atakayeleta ukiwa

Mtu ambaye atateketeza kabisa"

Mwisho kamili na uharibifu umeamriwa kutokea kwa yeye aliyesababisha ukiwa.

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Mungu ameamuru kwamba ataleta mwisho kamili na uharibifu"

Mwisho kamili na uharibifu

Maneno haya mawili yana maana moja. Yanatia mkazo juu ya uhalali na ukamilifu wa uharibifu.

yeye aliyesababisha ukiwa

"mtu ambaye ataleta uharibifu"