sw_tn/dan/08/15.md

454 B

mfereji wa Ulai

Mfereji ni shimo lililotengenezwa na watu kwa ajili ya kupitisha maji.

sauti ya mtu ikiita

Mahali mtu amerejelewa kwa sauti yake. "mtu alikuwa akiita kutoka mfereji wa Ulai"

nilisujudia hadi chini

Hili ni tendo la ibada ambalo katika hilo mtu fulani hulala wima juu ya nchi.

wakati wa mwisho

"siku za mwisho" au "mwisho wa dunia" Hii hairejelei mwisho wa muda kidogo, bali matendo ambayo yatatokea ghafla kabla ya mwisho.