forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
454 B
Markdown
16 lines
454 B
Markdown
|
# mfereji wa Ulai
|
||
|
|
||
|
Mfereji ni shimo lililotengenezwa na watu kwa ajili ya kupitisha maji.
|
||
|
|
||
|
# sauti ya mtu ikiita
|
||
|
|
||
|
Mahali mtu amerejelewa kwa sauti yake. "mtu alikuwa akiita kutoka mfereji wa Ulai"
|
||
|
|
||
|
# nilisujudia hadi chini
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la ibada ambalo katika hilo mtu fulani hulala wima juu ya nchi.
|
||
|
|
||
|
# wakati wa mwisho
|
||
|
|
||
|
"siku za mwisho" au "mwisho wa dunia" Hii hairejelei mwisho wa muda kidogo, bali matendo ambayo yatatokea ghafla kabla ya mwisho.
|