sw_tn/dan/07/27.md

878 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuongea na mtu yule aliyemwona katka maono.

maelezo ya jumla

Vifungu vingi vya mistari ya 23-17 vinatumia lugha ya picha.

Ufalme na utawala....watapewa watu walio wa wat

Hii yaweza kuelezwa kwa muuundo tendaji. "Mungu atawapa watu...ufalme na utawala...

Ufalme na utawala

Maneno haya maweili yana maana ile ile na yanatia mkazo juu ya miundo yote ya mamlaka rasmi

ukubwa wa falme

Nomino dhahania "ukubwa" yaweza kutafsiriwa kwa kivumishi "kubwa"

chini ya mbingu yote

Nahau "chini ya mbingu yote" inarejelea falme juu ya nchi.

ufalme wake

"ufalme wa Mungu aliye juu"

ufalme wa milele

"ufalme ambao utadumi milele" au " ufalme ambao hautakoma"

Na huu ndio mwisho wa mambo

Hii ina maana kwamba Danieli amemaliza kuelezea maono yake.

mwonekano wa uso wangu ulibadilika

"uso wangu ulikuwa dhaifu/hafifu"