forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
878 B
Markdown
40 lines
878 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Danieli anaendelea kuongea na mtu yule aliyemwona katka maono.
|
||
|
|
||
|
# maelezo ya jumla
|
||
|
|
||
|
Vifungu vingi vya mistari ya 23-17 vinatumia lugha ya picha.
|
||
|
|
||
|
# Ufalme na utawala....watapewa watu walio wa wat
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muuundo tendaji. "Mungu atawapa watu...ufalme na utawala...
|
||
|
|
||
|
# Ufalme na utawala
|
||
|
|
||
|
Maneno haya maweili yana maana ile ile na yanatia mkazo juu ya miundo yote ya mamlaka rasmi
|
||
|
|
||
|
# ukubwa wa falme
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania "ukubwa" yaweza kutafsiriwa kwa kivumishi "kubwa"
|
||
|
|
||
|
# chini ya mbingu yote
|
||
|
|
||
|
Nahau "chini ya mbingu yote" inarejelea falme juu ya nchi.
|
||
|
|
||
|
# ufalme wake
|
||
|
|
||
|
"ufalme wa Mungu aliye juu"
|
||
|
|
||
|
# ufalme wa milele
|
||
|
|
||
|
"ufalme ambao utadumi milele" au " ufalme ambao hautakoma"
|
||
|
|
||
|
# Na huu ndio mwisho wa mambo
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kwamba Danieli amemaliza kuelezea maono yake.
|
||
|
|
||
|
# mwonekano wa uso wangu ulibadilika
|
||
|
|
||
|
"uso wangu ulikuwa dhaifu/hafifu"
|