sw_tn/dan/07/17.md

358 B

Hawa wanyama nne wakubwa

"Hawa ni wanyama wakubwa"

ni wafalme wanne

"inawakilisha wafalme wanne"

wafalme wanne ambao watatoa katika nchi

Hapa maneno "kutoka katika nchi" ina maana ya kuwa ni watu wa kawaida.

wataumiliki

"watatawala juu yake"

milele na milele

Haya mawazo ya kujirudia yanatia mkazo kwamba ufalme huu hautakuwa na mwisho.