sw_tn/dan/07/11.md

844 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuelezea maono yake ya mahakama ya mbinguni katika kujibu mnyama wa nne aliyemwona katika 7:6

mnyama anauliwa...kwa ajili ya kuchomwa moto

Kauli hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "walimwua mnyama wa nne, wakaharibu mwili wake na wakampa mtu fulani ili auchome."

mnyama

Hii inamrejelea mnyama wa nne ambaye alikuwa na pembe kumi na pembe ile iliyojivuna.

Na kwa wale wanyama wanne waliosalia,

Inaweza kuwa wazi kusema, "wanyama wengine watatu"

mamlaka yao yalitwaliwa mbali,

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "hakimu aliyachukua mamlaka yao ya kutawala" au "mamlaka yao ya kutawala yalikoma'

maisha yao yaliendelezea kwa kipindi fulani cha muda

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. " waliendelea kuishi kwa kipindi fulani cha muda" au "hakimu aliwaacha waishi kidogo"