sw_tn/dan/06/23.md

212 B

tundu la simba

Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa

Hakuna dhara lolote lililoonekana kwake

Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Hawakuona jeraha lolote kwa Danieli"