sw_tn/dan/06/12.md

315 B

Je .haukuweka amri ....simba?

Walimwuliza swali hili ili kumfanya mfalme ahakikishe kuwa alikuwa ametoa amri.

mtu yeyote akayefanya maombi

"ambaye afanyaye maombi"

tundu la simba

Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa.

kama ilivyoelekezwa katika sheria

"kutokana na sheria"