# Je .haukuweka amri ....simba? Walimwuliza swali hili ili kumfanya mfalme ahakikishe kuwa alikuwa ametoa amri. # mtu yeyote akayefanya maombi "ambaye afanyaye maombi" # tundu la simba Hii inarejelea chumba au shimo mahali simba walikuwa wanatunzwa. # kama ilivyoelekezwa katika sheria "kutokana na sheria"