forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
496 B
Markdown
24 lines
496 B
Markdown
# walileta mpango mbele ya mfalme
|
|
|
|
"waliwasilisha mpango kwa mfalme"
|
|
|
|
# Mfalme Dario, uishi milele!
|
|
|
|
Hii ilikuwa ni njia ya kawaida ya kumsalimia mfalme.
|
|
|
|
# siku thelathini
|
|
|
|
"kwa siku 30"
|
|
|
|
# mtu yeyote anayefanya dua
|
|
|
|
"yeyote atakayetoa ombi"
|
|
|
|
# mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba
|
|
|
|
Maneno haya yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "wanajeshi wako lazima wamtupe mtu huyo katika tundu la simba"
|
|
|
|
# tundu la simba
|
|
|
|
Hii inarejelea chumba au shimo mahali ambapo simba walikuwa wametunzwa
|