sw_tn/dan/06/06.md

496 B

walileta mpango mbele ya mfalme

"waliwasilisha mpango kwa mfalme"

Mfalme Dario, uishi milele!

Hii ilikuwa ni njia ya kawaida ya kumsalimia mfalme.

siku thelathini

"kwa siku 30"

mtu yeyote anayefanya dua

"yeyote atakayetoa ombi"

mtu huyo lazima atupwe katika tundu la simba

Maneno haya yaweza kuelezeka kwa muundo tendaji. "wanajeshi wako lazima wamtupe mtu huyo katika tundu la simba"

tundu la simba

Hii inarejelea chumba au shimo mahali ambapo simba walikuwa wametunzwa