sw_tn/dan/05/25.md

806 B

Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa

Kwa kutumia muundo tendaji twaweza kusema. " huu ni ujumbe ambao uliandikwa na mkono"

'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.

Haya ni maneno ya Kiramaiki ambayo yalikuwa yameandikwa ukutani.

'Mene,' 'Mungu ameuhesabu

"mene' ina maana ya kuwa Mungu amehesabu"

Tekeli' 'umepimwa katika mizani

"Tekeli' ina maana ya wewe umepimwa"

Peresi' 'ufalme wako

"Peresi" ina maana ya ufalme wako

'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua

kuhukumu na kuamua juu ya uthamani kwa mfalme katika kutawala unasemwa kana kwamba ni kumpima. Hii ina maana ya kwamba mfalme hafai kuongoza/kutawala.

'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'"

Kwa kutumia muundo tendaji twaweza kusema. "Mungu ameugawa ufalme wako na amewapa Wamedi na Waajemi.