sw_tn/dan/05/20.md

827 B

moyo ulipokuwa na kiburi

Mahali hapa neno "moyo" linamrejelea mfalme mwenyewe.

roho yake ilifanywa kuwa mgumu

Mahali neno "roho" linamaanisha mfalme mwenyewe. Kiburi chake kinasemwa kana kwamba kilikuwa kimefanywa kuwa kigumu.

kwa kiburi

"kwa kiburi na zaidi ya kujiamini

alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme

Mahali "kiti cha enzi" kina maana ya mamlaka yake ya kutawala. Hii pia yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Watu waliutwaa ufalme wake."

Aliondolewa katika ubinadamu

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. Watu walimfukuza atoke kati yao"

alikuwa na akili za mnyama,

Mahali hapa neno "akili" lina maana ya mawazo. "Alifikiri kama vile mnyama anavyofikiri"

umande

Ni unyevu nyevu ulio juu ya nchi ambao hupatikana nyakati za asubuhi.

yeyote amtakaye

"yeyote amchaguaye"