sw_tn/dan/05/13.md

556 B

Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme

Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kisha walimleta Danieli mbele ya mfalme" au "wanajeshi walimleta Danieli mbele ya mfalme"

ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda

Katika kirai hiki, neno "baba" limetumika kumaanisha wanajeshi wote.

roho ya miungu

Belshaza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Belshaza aliiabudu.

mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako

Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "una mwanga na ufahamu na hekima bora"