forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
556 B
Markdown
16 lines
556 B
Markdown
|
# Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Kisha walimleta Danieli mbele ya mfalme" au "wanajeshi walimleta Danieli mbele ya mfalme"
|
||
|
|
||
|
# ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda
|
||
|
|
||
|
Katika kirai hiki, neno "baba" limetumika kumaanisha wanajeshi wote.
|
||
|
|
||
|
# roho ya miungu
|
||
|
|
||
|
Belshaza aliamini kuwa nguvu za Danieli zilitoka kwa miungu ya uongo ambayo Belshaza aliiabudu.
|
||
|
|
||
|
# mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "una mwanga na ufahamu na hekima bora"
|