forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
812 B
Markdown
28 lines
812 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Katika mistari ya 34-37 Nebukadneza anaongelea katika nafsi ya kwanza katika kueleza jibu lake kwa Mungu.
|
|
|
|
# Wenyeji wote wa duniani huhesabiwa na yeye kuwa bure
|
|
|
|
Sentensi hii yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Huwahesabu wakaaji wote wa duniani kuwa si kitu"
|
|
|
|
# Wenyeji wote wa duniani
|
|
|
|
"watu wote katika dunia"
|
|
|
|
# jeshi la mbinguni
|
|
|
|
"jeshi la malaika huko mbinguni"
|
|
|
|
# hufanya lolote limpendezalo
|
|
|
|
"lolote linalotimiza kusudi lake" au kila kitu anachotaka kufanya"
|
|
|
|
# Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia
|
|
|
|
Itakuwa na msaada kuongeza maelezo ya ziada. "Hakuna hata mmoja awezaye kumzuia kufanya kile alichoamua kufanya"
|
|
|
|
# Hakuna hata mmoja awezaye kumwambia, "Mbona umefanya hivi?"
|
|
|
|
Hii yaweza kuelezeka kwa kutumia nukuru isiyo ya moja kwa moja. "Hakuna awezaye kumwuliza kile anachofanya"
|