forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
408 B
Markdown
16 lines
408 B
Markdown
# walipoikana amri yangu
|
|
|
|
Kutokutii amri ya mfalme kunasemwa kana kwamba kilikuwa kitendo dhahiri cha kutoka na kwenda mbali.
|
|
|
|
# waliitoa miili yao
|
|
|
|
Kirai hiki kinawahusu watu watatu waliokuwa wamehialika kufa kwa kile wanachokiamini.
|
|
|
|
# kusujudia
|
|
|
|
Kitendo hiki kina maana ya kulala katika nchi, uso ukiwa umeelekea chini, katika hali ya kuabudu.
|
|
|
|
# isipokuwa Mungu wao
|
|
|
|
kwa mungu mwingine isipokuwa Mungu"
|