forked from WA-Catalog/sw_tn
408 B
408 B
walipoikana amri yangu
Kutokutii amri ya mfalme kunasemwa kana kwamba kilikuwa kitendo dhahiri cha kutoka na kwenda mbali.
waliitoa miili yao
Kirai hiki kinawahusu watu watatu waliokuwa wamehialika kufa kwa kile wanachokiamini.
kusujudia
Kitendo hiki kina maana ya kulala katika nchi, uso ukiwa umeelekea chini, katika hali ya kuabudu.
isipokuwa Mungu wao
kwa mungu mwingine isipokuwa Mungu"