sw_tn/dan/03/28.md

408 B

walipoikana amri yangu

Kutokutii amri ya mfalme kunasemwa kana kwamba kilikuwa kitendo dhahiri cha kutoka na kwenda mbali.

waliitoa miili yao

Kirai hiki kinawahusu watu watatu waliokuwa wamehialika kufa kwa kile wanachokiamini.

kusujudia

Kitendo hiki kina maana ya kulala katika nchi, uso ukiwa umeelekea chini, katika hali ya kuabudu.

isipokuwa Mungu wao

kwa mungu mwingine isipokuwa Mungu"