sw_tn/dan/03/11.md

809 B

Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto

Tungo hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Wanajeshi watawatupa katika tanuru liwakalo moto mtu yeyote ambaye hatalala chini na kuabudu."

kuanguka chini

Hili ni tendo la ishara ya kuabudu

tanuru la moto

Hiki ni chumba kikubwa chenye moto mkali

masuala

"mambo" au "shughuli"

Shadraka, Meshaki, na Abednego

Haya yalikuwa ni majina ya Kibabeli ya vijana watau wa Kiyahudi ambao walikuwa ni marafiki wa Danieli.

hawakutii wewe

"hawakusikilizi wewe"

kuisujudia wenyewe

Hii ni ishara ya tendo la kuabudu

sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka

Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge"