forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
809 B
Markdown
32 lines
809 B
Markdown
|
# Mtu yeyote asiyeanguka na kuiabudu sharti atupwe katika tanuru linalowaka moto
|
||
|
|
||
|
Tungo hii yaweza kuelezwa kwa kutumia muundo tendaji. "Wanajeshi watawatupa katika tanuru liwakalo moto mtu yeyote ambaye hatalala chini na kuabudu."
|
||
|
|
||
|
# kuanguka chini
|
||
|
|
||
|
Hili ni tendo la ishara ya kuabudu
|
||
|
|
||
|
# tanuru la moto
|
||
|
|
||
|
Hiki ni chumba kikubwa chenye moto mkali
|
||
|
|
||
|
# masuala
|
||
|
|
||
|
"mambo" au "shughuli"
|
||
|
|
||
|
# Shadraka, Meshaki, na Abednego
|
||
|
|
||
|
Haya yalikuwa ni majina ya Kibabeli ya vijana watau wa Kiyahudi ambao walikuwa ni marafiki wa Danieli.
|
||
|
|
||
|
# hawakutii wewe
|
||
|
|
||
|
"hawakusikilizi wewe"
|
||
|
|
||
|
# kuisujudia wenyewe
|
||
|
|
||
|
Hii ni ishara ya tendo la kuabudu
|
||
|
|
||
|
# sanamu ya dhahabu ambayo umeiweka
|
||
|
|
||
|
Hii inazungumzia juu ya mfalme Nebukadneza kutoa amri ya kujengwa kwa sanamu kana kwamba yeye mwenyewe aliijenga. "Sanamu uliyowaagiza watu wako waijenge"
|