forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
407 B
Markdown
16 lines
407 B
Markdown
# Maelezo ya jumla
|
|
|
|
Danieli anaendelea kuongea na mfalme
|
|
|
|
# kama vile ulivyoona
|
|
|
|
Nebukadneza alione miguu iliyo na udongo na chuma. Hakuweza kuona mchakato wa utengenezaji wa miguu.
|
|
|
|
# vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma,
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ilikuwa ya mchanganyiko wa udongo na chuma"
|
|
|
|
# hawatakaa kwa pamoja
|
|
|
|
"hawatabaki wameshikamana"
|