sw_tn/dan/02/41.md

407 B

Maelezo ya jumla

Danieli anaendelea kuongea na mfalme

kama vile ulivyoona

Nebukadneza alione miguu iliyo na udongo na chuma. Hakuweza kuona mchakato wa utengenezaji wa miguu.

vilikuwa kwa sehemu vimetengenezwa kwa udongo na kwa sehemu vimefanywa kwa chuma,

Hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ilikuwa ya mchanganyiko wa udongo na chuma"

hawatakaa kwa pamoja

"hawatabaki wameshikamana"