forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
337 B
Markdown
8 lines
337 B
Markdown
# mkuu na mwenye nguvu
|
|
|
|
Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa nguvu za Mfalme.
|
|
|
|
# hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu
|
|
|
|
Maneno haya hameelezwa kwa kukanusha kwa ajili ya kutia mkazo. Yaweza pia kuelezwa kwa sentensi chanya. "Ni miungu tu yaweza kumwambia mfalme hili"
|