sw_tn/dan/02/10.md

337 B

mkuu na mwenye nguvu

Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa nguvu za Mfalme.

hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu

Maneno haya hameelezwa kwa kukanusha kwa ajili ya kutia mkazo. Yaweza pia kuelezwa kwa sentensi chanya. "Ni miungu tu yaweza kumwambia mfalme hili"