forked from WA-Catalog/sw_tn
337 B
337 B
mkuu na mwenye nguvu
Maneno haya mawili kimsingi yanamaanisha kitu kile kile na kutia mkazo juu ya ukubwa wa nguvu za Mfalme.
hakuna yeyote awezaye kumwambia mfalme isipokuwa miungu
Maneno haya hameelezwa kwa kukanusha kwa ajili ya kutia mkazo. Yaweza pia kuelezwa kwa sentensi chanya. "Ni miungu tu yaweza kumwambia mfalme hili"