sw_tn/dan/02/03.md

503 B

akili yangu ina mashaka

hapa neno "akili" linamrejelea mfalme mwenyewe.

mashaka

"kusumbuka"

Kiaramaiki

Hii ni lugha ambayo watu wa Babeli waliiongea.

" Mfalme, aishi milele!

Watu waliyasema maneno haya kuonesha heshima kwa mfalme. "Mfalme, tunatumaini utaishi milele"

sisi, watumishi wako

Watu walijiita wao wenyewe kuwa ni watumishi wa mfalme kuonesha heshima.

tutaifunua

Hapa kiwakilishi 'tu' kinarejelea watu/wanaume ambao mfalme alikuwa akiongea nao na hakimjumuishi mfalme.