forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
503 B
Markdown
24 lines
503 B
Markdown
|
# akili yangu ina mashaka
|
||
|
|
||
|
hapa neno "akili" linamrejelea mfalme mwenyewe.
|
||
|
|
||
|
# mashaka
|
||
|
|
||
|
"kusumbuka"
|
||
|
|
||
|
# Kiaramaiki
|
||
|
|
||
|
Hii ni lugha ambayo watu wa Babeli waliiongea.
|
||
|
|
||
|
# " Mfalme, aishi milele!
|
||
|
|
||
|
Watu waliyasema maneno haya kuonesha heshima kwa mfalme. "Mfalme, tunatumaini utaishi milele"
|
||
|
|
||
|
# sisi, watumishi wako
|
||
|
|
||
|
Watu walijiita wao wenyewe kuwa ni watumishi wa mfalme kuonesha heshima.
|
||
|
|
||
|
# tutaifunua
|
||
|
|
||
|
Hapa kiwakilishi 'tu' kinarejelea watu/wanaume ambao mfalme alikuwa akiongea nao na hakimjumuishi mfalme.
|